Mtunzi wa vitabu maarufu nchini naigeria ndugu;CHINUA ACHEBE amefariki dunia leo akiwa na umri wa miaka 85! atakumbukwa kwa umahiri wake wa vitabu km; THE RIVER BETWEEN,THINGS FOLLOW APART, na vingine; chanzo cha hbr bbc swahili! mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Amen!
↧