startimes wananiboa.
Startimes wananiboa sana.Nilinunua kisimbuzi chao januari 2012 na nilitumia antena ya ndani tu nikawa napata matangazo vizuri.Lakini kuanzia februari mwaka huu,picha zinaganda.Nimenunua antena ya nje...
View ArticleMbona hawarudi na leo ndo tar.26
Mwanzo nlckia kuwa guys walioenda jkt wanatarajiwa kurudi tarehe 26 ya mwez wa tano lakn cku yenyewe ndo hii n wao wanasema mpaka tar.30 mwez juni...inakuaje hapa guys nsaidien
View ArticleMume na mke wapigana kisa ushabiki.
Ilikuwa siku ya mchezo wa mieleka jamaa akimshabikia undertaker mke john cena wakawekeana hela kwakweli cena aliposhinda mke kakurupukia kuchukua laki2 jamaa kwa hasira alimpiga tiktaka mpaka mke...
View ArticleAngalia kwa makini shavu lake.Je, Hawezi kukamatwa kwa kumdhalilisha...
Shavu limeandikwa J.K. Ni Dokii huyo. Attached Thumbnails Â
View ArticleNews Alert: Annuur: Serikali imefuta mitihani ya Dini !!!!!!!!!!!
Serikali yafuta kinyemela mtihani somo la Islamic Na Mwandishi Wetu WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imepitisha uamuzi wa kutotahini tena mtihani wa somo la Dini kuanzia mwaka huu. Katika kupitisha...
View ArticleLive Kampeni za chadema kata ya kaloleni Arusha
Salam makamanda, muda mfupi uliopita nimetoka kwenye mkutano wa chama cha cuf kata ya kaloleni mtaa wa tenki la maji Ilboru, ambao umehudhuriwa na viongozi waandamizi wa cuf kitaifa wakiongozwa na...
View ArticleNews Alert: Chadema yagaragazwa vibaya Iramba,CCM yachukua vijiji vyote
Habari zilizotufikia punde ni kuwa chadema imeanguka vibaya katika marudio ya uchaguzi wa vijiji nane ambapo ccm imeshinda vyote nakuzima ngebe na propaganda za magwanda kuwa wanakubalika,huwezi amini...
View ArticleNyerere, kawawa kutambuliwa au
BABA wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, ni miongoni mwa Watanzania watatu wanaotarajiwa kutambuliwa na kuenziwa na Umoja wa Afrika (AU) rasmi kama Mwafrika Mashuhuri wa Kimajumui. Hatua hiyo...
View ArticleWadau Nahitaji Moderm yenye uwezo wa kutumia line zote!Kama unayo ni...
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
View ArticleVIDEO: Prof. Lipumba akiri kumsaidia Kikwete Uchaguzi 2010
Wakuu, Katika zunguka zangu nikitafuta video ya kinachodaiwa kunaswa na Tanzania Daima (Ref Lipumba akiri kumsaidia Kikwete Uchaguzi 2010), nimefanikiwa kuipata video hii katika YouTube. Nimetafuta...
View ArticleUzinduzi wa kampeni za udiwani kaloleni arusha
Mh. Lema anasema lengo la chadema ni kubadili mfumo wa utawala wa ukandamizaji vhini ya ccm
View Articlejembe msigwa leo yuko dabaga?
wadau nasikia jembe na mwanaharkati machachari msigwa yuko dabaga jioni hii tafadhari tujuzeni vilivyo makamanda ilitujue harakati zinakwendaje weekiend hii tujuzeni tafadhari..............
View ArticleDole: 'I doubt' I could make it in today's GOP
Dole: 'I doubt' I could make it in today's GOP Former Senate Majority Leader Bob Dole says he doesn't believe he could make it in the modern Republican Party. "I doubt it," he said in an interview...
View ArticleMh. Wasira, chadema inaimarika!..Ongeza kauli iimarike zaidi...
Ndg wanajf wa itikadi yoyote popote pale ulipo,natangaza msimamo wangu kuwa Mh Wasira veeeeeery poor planner kwa mipango ya kusambaratisha chadema kwa muda alioutaja. Tunashuhudia chadema inastawi na...
View ArticleNataka kupajua g
Mimi mwenzenu kilasiku nasikia kumfikisha mwanamke kwenye g-sport au kumpleleka g-sport sasa jamani huko ndo wapi na inapatikana wapi? Maana kuuliza sio ujinga ili namimi mwenzenu nimpeleke wakwangu...
View ArticleNatafuta kiwanja DSM.
Natafuta kiwanja, chenye ukubwa wowote na mahali popote DSM. Ila itakuwa vizuri zaidi kikiwa maeneo ya Temeke. 0653422776.
View ArticleAsante Sana @Mama Mdogo Kwa Ushauri na Maoni Kuhusu Avatar Yangu
Wanajamvi nawasalimieni! Wataalamu wa saikolojia wanasema kwamba ushauri ukitolewa kwa upendo unafuatwa. Mimi nimeshauriwa kwa upendo na nimefuata ushauri huo. Inahusu avatar yangu: ile ilokuwa ya...
View ArticleKibadeni kocha mpya Simba
chanzo BIN ZUBEIRY: RASMI 'KING KIBADEN' KOCHA MPYA SIMBA SC, AANZA KAZI KESHO KINESI
View ArticleNaomba ushauri wenu
Kuna dada ananipenda sana,lakn mim namuona wa kawaida sana.cjskii kvle kuwa nae.nifanyaje ili nimpende? Kingne umri namzd mwaka 1 je ni sawa kumuoa? Naomba ushauri kwnu
View Article