Quantcast
Channel: JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Browsing all 12945 articles
Browse latest View live

let us talk of those things which send you to prison

All societies devise a system for administering justice so that when an individual is accussed of a crime,he can be tried,and if found guilty,appropriately sentenced to a designated sentence. This...

View Article


Will you accept me?

Hamjambo wa MMU, Mimi ni kibebi, jinsia yangu ni mwanamke, nina umri wa miaka 29 ninaishi abroad (Ulaya). Rangi ya ngozi yangu ni maji ya kunde, mrefu wastani, sijawahi kuolewa kabla, na elimu yangu ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Museveni’s father, Amos Kaguta, dies at 96

Fri, Feb 22nd, 2013 Headlines / Uganda | By In2EastAfrica Reporter KAMPALA - Mzee Amos Kaguta, the father of Ugandan president Yoweri Kaguta Museveni died Friday morning at International Hospital...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi Green Acres afichua siri nzito Kuhusu Matokeo ya Form four Mpaka...

February 21, 2013 Matokeo kidato cha nne ‘feki’ • Mkurugenzi Green Acres afichua siri nzito WAKATI mjadala wa matokeo mabaya ya kidato cha nne ukiendelea kulitikisa taifa, kashfa mpya ya matokeo hayo...

View Article

Nokia Lumia 900, Sony ericsson x10, iPhone 4 for sale.

Zote 16G... Sony ericsson black, iPHONE4 White na Nokia lumia 900 black. Bei laki 3.5, laki 5 na laki 5. PM

View Article


Juma Kaseja Apata Udhamini Mnono wa Nike

Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Juma Kaseja amepata udhamini mnono binafsi toka kampuni ya Nike. Taarifa nilizozipata amekula zaidi ya pauni 50000 kwa mwaka huu. Sent from my BlackBerry 9300 using...

View Article

Mtoto anayeungua nguo bila kujiona atua Dar

CHRISTINA Mjema (12) kutoka mji mdogo wa Kabuku, wilayani Handeni, mkoani Tanga, ambaye nguo zake zimekuwa zikiungua kwa moto bila ya yeye kuungua amefikishwa jijini Dar es Salaam kwa ajili ya maombi....

View Article

Tanzania Mining Act of 2010 (Vain Politics)

Tanzanians are notorious for political rhetoric and obsession at the expense of economic value. This habit has now evolved into a ‘culture’. The Tanzanian Parliament is actively legislating laws that...

View Article


Pinda aunda tume kuchunguza matokeo

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameunda tume itakayochunguza sababu za idadi kubwa ya wanafunzi wa kidato cha nne kuvurunda katika matokeo ya mtihani huo yaliyotangazwa hivi karibuni. Katika matokeo hayo...

View Article


Blackberry na youtube

Wana jf Nilikua naomba msaada wa kuangalia youtube click ktk blackberry yangu kwani natumia bb internet package ya airtel na nadhani wamezuia nisione. Au ni kwa wote hawaoni?

View Article

Polisi yatangaza dau aliyemuua Padri Mushi

WAKATI kukiwa na taarifa kwamba maofisa wa Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) wametua nchini kwa ajili ya kufanya upelelezi wa mauaji ya Padri Evarist Mushi, Jeshi la Polisi limetangaza dau la Sh10...

View Article

Wagonjwa wa akili

Wagonjwa wawili wa akili, walipanga kutoroka wodini katika Hospitali ya vichaa. Na mpango ulikuwa wakifika getini wamuue mlinzi, ili waweze kutoroka kirahisi, lakini walipofika getini hawakumkuta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete awasili Jijini Addis Ababa - Feb 23, 2013

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS Telephone: 255-22-2114512,2116898 E-mail:ikulumawasiliano@yahoo.co m press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425 PRESIDENT’S OFFICE,...

View Article


Swali la udadisi: Kwanini Kikwete... Migiro.... 2006?

Jakaya Kikwete alipochaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano 2005 mwishoni, mwaka 2006, Januari, mwanzoni kabisa alitangaza Baraza la Mawaziri (ambalo hadi sasa ndilo pekee liliovunja rekodi ys kubwa...

View Article

kama una mtaji jaribu biz hii

Habari za leo JF..Watu wengi wanasema wana mitaji lakini hawajuhi wafanye nini,mimi naishi dubai ila sitaki kufanya biz na mtu maana najua watakuja watu na comments kwamba wanataka kuibiwa..kuna hii...

View Article


Basi tufanye upendo utamalaki mioyoni mwetu

Muda ni kama maji yatiririkayo kwenye mkondo wake. Binadamu tuna mambo mengi ya kufanya lakini muda kamwe hautusubiri. Tumeumbwa kuwa na mabadiliko, tumeumbwa tukue, tumeumbwa tuishi na tufe. Hakuna...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hawa Je?

Nikiweka maneno mengi nitaharibu.................. Attached Thumbnails  

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Siri ya mauaji ya Zanzibar yafichuka: Mkono wake unahusisha taasisi za...

Alhamisi, Februari 21, 2013 07:32 Na Mwandishi Maalumu *Mkono wake unahusisha taasisi za kimataifa *Rai lanasa CD ya video ya kulipa kisasi, kuua *Orodha ya maaskofu wanaosakwa yabainika TAASISI ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAI: Fedha za uwekezaji wa Gesi Mtwara shakani

Alhamisi, Februari 21, 2013 07:36 Na Mwandishi Wetu TANZANIA itakosa matrilioni ya fedha za uwekezaji kutokana na vurugu za hivi karibuni zilizotokea mkoani Mtwara, RAI imebaini. Vurugu hizo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Usiweke simu ya mkononi chini ya mto ni hatari waweza kupata saratani ya ubongo

Cancer is one of the most dangerous Disease, in Action in this modern era. After Research Scientists have Announced yesterday that, Most of the Brain Cancer is Due to Cell Phones. Among the worst, it...

View Article
Browsing all 12945 articles
Browse latest View live