Msanii Elizabeth Michael, maarufu kama Lulu (Hot Lulu), ameepuka adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa tuhuma za kumuua msanii mwezake, R.I.P Steven Kanumba baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kumbadilishia mashtaka, ambapo sasa anatuhumiwa kuua bila kukusudia.
Kutokana na mabadiliko hayo, Lulu ameepuka adhabu hiyo ya kunyongwa hadi kufa, hata kama atapatikana na hatia, adhabu yake ni kifungo cha maisha au kuachiwa huru.
Source: Gazeti la Mwananchi la Jumanne 18, Desemba 2012
Kutokana na mabadiliko hayo, Lulu ameepuka adhabu hiyo ya kunyongwa hadi kufa, hata kama atapatikana na hatia, adhabu yake ni kifungo cha maisha au kuachiwa huru.
Source: Gazeti la Mwananchi la Jumanne 18, Desemba 2012