Quantcast
Channel: JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Viewing all articles
Browse latest Browse all 12945

Tanzania yapanda katika viwango vya rushwa na ufisadi duniani! Yazipiku baadhi ya Nchi Afrika:

$
0
0
Heshima kwenu wadau.

Tanzania imepanda kutoka nafasi ya nne mpaka ya tatu duniani katika viwango vya rushwa na ufisadi wa mali ya umma, Tanzania imezipiku baadhi ya nchi za Afrika katika ufisadi wa mali ya umma,imetajwa kuwa na kiwango kikubwa sana cha rushwa duniani.

source:Mwananchi

My take:

Je kuna sababu ya CCM kuendelea kuaminiwa kuongoza nchi kama hali ndio hii,Nchi sasa inaongoza kwa ufisadi bado tuwaamini tena? Mtanzania tafakari chukua hatua tuondoe mafisadi madarakani!

Viewing all articles
Browse latest Browse all 12945

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>