Kwa nchi kadhaa nilizosikia wakiandika upya au kufanya marekebisho makubwa ya katiba, mara nyingi rasimu inakuwa imebeba vizuri interests za watawala waliopo madarakani kwa wakati huo.
Sasa nashangaa CCM walishindwaje kujipanga hadi wanakwenda kujadili rasimu wakiwa ndio wapinzani wa rasimu hiyo, huku vyama visivyo madarakani vikiwa watetezi wa rasimu!!!...
Sasa nashangaa CCM walishindwaje kujipanga hadi wanakwenda kujadili rasimu wakiwa ndio wapinzani wa rasimu hiyo, huku vyama visivyo madarakani vikiwa watetezi wa rasimu!!!...