Jamani, nina mtoto wa best wangu ana umri wa miaka 6, ila tangu kuzaliwa (makuzi) alitoka kijitambi kidogo.
Cha ajabu mpaka sasa ana miaka 6 bado ana kitumbo kilichotokeza.
Hata kama hajala.
Ana afya nzuri tu ila hko kijitambi.
Jamani, ni nini hiki?
Tiba ni nini?
Riwa, Lasikoki na MziziMkavu...naombeni ufafanuzi.
Alamsiki.
Cha ajabu mpaka sasa ana miaka 6 bado ana kitumbo kilichotokeza.
Hata kama hajala.
Ana afya nzuri tu ila hko kijitambi.
Jamani, ni nini hiki?
Tiba ni nini?
Riwa, Lasikoki na MziziMkavu...naombeni ufafanuzi.
Alamsiki.