Matokeo ya kura Scotland yanawafunga mdomo wale wanaohubiri Zbz kujitenga. Wananchi wawe macho na watu wanaoeneza ubaguzi kwani Tz bara na Zb ni ndugu. Viongozi kama yule aliyemwita Keissy 'mwarabu' hafai hata kuwa katibu kata. Ni ujinga kumhukumu mtu kwa rangi, dini, eneo au haiba yake. Hongera sana Scotland kumkataa Salmond ambaye ndiye alikuwa 'jusa' wa Uingereza!
↧