Quantcast
Channel: JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Browsing all 12945 articles
Browse latest View live
↧

windmill water pump kwa wafugaji wa samaki!

ni muda mrefu nime fikiria namna ya kuwa komboa wafugaji wa samaki namna ya kufanya samaki wapate oxgen ktk mabwawa ili wakue vzr na mfugaji apate faida kubwa. sasa nimegundua njia rahisi itakayo fanya...

View Article


msaada wadau

kwa anaye fahamu:faculty ya BS IN PROPERTY AND FACILITIES MANAGEMENT; YA ARDHI ANIFAHAMISHE;inahusiana na kitu gani na soko lake likoje LA ajira..,msaada wadau.

View Article


Historia ya Viraka vya Katiba na Marais Kuondoka Madarakani

Mwaka 1984Mwalimu Nyerere (R.I.P) Alifanya Mabadilio ya Kuingiza Haki za Binadamu Kwenye Katiba ya JMT ilihali li akijua anang'atuka 1985................enzi zw mwalimu ilikua ZIDUMU FIKRA ZA...

View Article

Sitashiriki maandamano CHADEMA

Natambua kuwa maandano ni haki inayominywa na katiba ya sasa hata hivyo katiba mpya haijapatikana. Kama mwana CHADEMA na mwanaharakati,kimsingi naunga mkono dhana ya maandamano hata yasiyo na kibali...

View Article

Kuibiwa nguvu za kiume

Kuna habari nimezisikia ,watu haswa wanawake huweza tumia ushirikina na kumpotezea kabisa mwanaume nguvu ya kugegeda ,akabaki mwanaume suruali. Kwa nia ya kumkomoa asipowakubali au kuwaacha,au kumzuia...

View Article


Kwa wenye tatizo la nguvu za kiume

Habari za asubuhi ndugu zangu wakubwa kwa wadogo wake kwa waume? Natumai hamjambo na mu wazima wa afya na kama yupo asiye mzima wa afya basi Mungu atakwenda kuchukua nafasi yake. Tataizo la nguvu za...

View Article

Nini Tofauti ya Maneno Haya Kikatiba?

Ibara na VifunguMabadiliko ya Katiba vs Marekebisho ya KatibaWabunge wa BMK na Wajumbe wa BMKMgombe Binafsi nna Mgombea HuruJamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya WATU wa Zanzibar (kwenye Tanganyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Introducing "Dead Beat Kenya"....

How a Facebook group in Kenya is shaming deadbeat parents There are selfish, negligent parents all over the world. In Kenya, however, a new Facebook group has now taken private parental disputes...

View Article


Mwanafunzi Ajinyoga hadi Kufa BUKOBA

Mwanafunzi wa kidato cha tano katika shule ya sekondari ya IHUNGO mkoani Kagera huko BUKOBA amejinyonga na shuka hadi kufa akiwa katika hospitali ya mkoa wa Kagera huku aliacha Ujumbe mfupi kwa nini...

View Article


Fursa ya kuwekeza Kigoma Mjini.

Wadau kwa wanaofahamu vizuri mkoa wa Kigoma kuna fursa zipi ambazo naweza kuwekeza na zikaleta return nzuri,nahitaji kujua ili nianze utekelezaji haraka.Nawasilisha

View Article

Ni mpya baadaya kulipuliwa kwa WestgatE

baada ya kulipuliwa na kuharibiwa vibaya na watu wanaodhaniwa ni magaidi westgatE waliahidi watajenga mpya na kisasa zaidi je kuna mtuyeyote mwenye taarifa ama picha mpya baada ya kulipuliwa Kwa...

View Article

Hedhi na tabia ya mahusiano ya wanawake

Je! Unajua kuwa mzunguko wa hedhi wa mwanamke, pia humsababishia mabadiliko ya uchaguzi wa mwanaume wa kuwa karibu naye? Mfano; baada ya hedhi mwanamke hupenda kukaa karibu na wanaume marafiki,wenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

News Alert: Pata logo kwa ajili ya biashara yako sasa

Je unahitaji nembo au logo itakayoweza kuwakilisha biashara yako mahali popote pale.Basi wasiliana nami ili uweze kupata logo iliyo simple na yenye uwezo wa kuwakilisha biashara yako mahali popote...

View Article


Siasa kali

SIASA KALI KATIKA KUTAFUTA UHURU SIYO KOSA,NA SIASA POA KATIKA KUTAFUTA HAKI SIYO NZURI. In english: EXTREMISM IN THE DEFENSE OF LIBERTY IS NO VICE,PURSUIT OF JUSTICE IS NO VIRTUE. Tujadili kwa pamoja...

View Article

News Alert: Breaking news:one scotland

Habari za hivi punde toka BBC,wananchi wa Uscochi wamekataa kujitenga na Muungano wa Kifalme kwa asilimia 55 dhidi ya asilimia 45 ya waliotaka kujitenga.Tanzania tunajifunza nini kuhusu muungano wetu?

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nauza gar

Ni toyota probox imetembea km 36517,cc yake 1298 na ni ya mwk 2004 bei yake ni mil 9 tu kwa mawasiliano zaid tumia hz no 0768359292 na 0652359291 biashara ni maelewano na picha zake chin hapo Attached...

View Article

Kauli hatarishi ni ipi? Kati ya mbowe na komba?

kabla hajakamatwa MH MBOWE akamatwe mzee wa ndogo aka tumbotumbo aka KOMBA kwa kupanga mkakati wa KIGAIDI kuingia mstuni kijeshi endapo kauli ya wananchi ya kutaka serikali 3 ikikpitishwa

View Article


IGP Mangu hii nguvu haikuwa lazima

Enzi za mkoloni polisi alikuwa kama mnyama kwa utendaji wake hususani kwa watu weusi. Mambo mengi yamebadilika ingawa mabaki ya ukoloni kwa baadhi yao bado yapo. Tumekuwa tukiiga mambo ya ulaya mbona...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nauza gar

Ni toyota porte imetembea km 81000 cc yake 1290 ni production ya mwk 2005 bei ni mil 9 biashara ni maelewano kwa mawasiliano zaid tumia hiz no 0768359292 na 0652359291 na picha zake chin hapo Attached...

View Article

News Alert: Service girls&men,ewiii,karibuni mtaani! Huku kuna HESLB&TCU

Karibuni sana mtaani,huku kuna TCU na HESLB,waweza pata chuo no MKOPO,pia waweza chaguliwa kozi ambayo huitaki,all in all msali sana,mungu awasaidie.

View Article
Browsing all 12945 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>