Quantcast
Channel: JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Browsing all 12945 articles
Browse latest View live

Nikipewa Urais wa tanzania nikashindwa kutoa ajira Million50 Ninyongwe...

Kwa fursa za kiuchumi zilizopo kila mtanzania mwenye uwezo wakufanya kazi naweza mpatia ajira na kila mwananchi anayetaka kusoma ninaweza msomesha bure kwa kiwango chake mwenyewe. Naweza hakikisha kila...

View Article


Kiwanja kinauzwa

kiwanja kipo Dar-es-salaam tabata segerea kina offer na ukubwa ni square meter 746 kinauzwa mil. 17. anaeitaji aniPM

View Article


News Alert: Wachaga nomaaaa,:-@

Jamaa 1 alienda kufanyiwa upasuaji hospitalini akachomwa dawa ya nusu kaputi kwa ajili ya upasuaji huo akawa kama kafa kabisa doctor alivyomaliza kumfanyia akawa anaondoa vitu kwa bahati mbaya...

View Article

JF members wa Dar

Waungwana nawasabahi... Leo nipo dar wapi naweza kuonana na JF member wengi tubadilishane mawazo! Asanteni

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Toyota nadia

ipo Dar es salaam, gari ipo katika hali nzuri sana. imetembea km 130,000 tu haijawahi kuguswa injini. bei maelewano. mawasiliano 0754403356 au 0752555055 Attached Thumbnails  

View Article


Jumanne Miraji Simba

Wakuu, kama kuna mtu yeyote independent mwenye interest ya kuchunguza suala la Kibanda na la video ya Rwakatare, amchunguze huyu mtu... Kwaherini

View Article

News Alert: Chadema Mpango wa Mungu"

Nawashauri tuu wana ccm kazi ya kuichafua 'Chadema Mpango wa Mungu" Hamtaiweza hata kidogo Tunajiamini na Umma,Tunaaminika na Umma,Tunakubalika na Umma, Tunaheshimiwa na Umma'.

View Article

TFF Yatoa ufafanuzi sakata la katiba

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) amewataka wadau wa mchezo huo kuwa watulivu kwa vile tofauti zilizojitokeza kati ya Shirikisho na Serikali zitamalizwa kwa taratibu za mpira wa...

View Article


News Alert: Mtanzania kumhusisha membe na kipigo cha kibanda, je ni vikumbo...

Gazeti la Mtanzania liliripoti waziri Membe kuhusika na mateso ya mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Bw.Absalom Kibanda. je ni kweli amehusika au ndio vikumbo vya kupigania urais vimeanza ndania ya CCM.

View Article


News Alert: New technology ilio tumika kumkamatisha lwakatare hiapa..kila...

New technology ilio tumika kumkamatisha lwakatare hiapa It is an application developed at New York University, known as Video Rewrite, uses computer to match lip movements with the new voice track. hi...

View Article

Waziri agrey mwanri umedanganywa na halmashauri ya mji mpanda

Katika ziara yako uliyoifanya siku za karibuni hapa wilaya ya Mpanda ulielezwa kwamba ukarabati wa stendi ya mjini Mpanda itawekwa lami pamoja na barabara zinazoingia maeneo ya stendi ambazo inafikia...

View Article

Ukiona dalili hizi huhitaji kupigiwa kengele,jua umri umeenda!!!

1. Huna muda wa kushinda na mpenzi wako kutwa nzima mkipiga stori za mapenzi 2. Ukihitaji kufanya mapenzi mahali unakokufikiria ni kitandani 3. Unaanza kujaza friji lako kwa vyakula zaidi kuliko pombe...

View Article

Kwa Rwakatare je hii ni halali?

Kukaa rumande kwa zaidi ya saa 24 bila kufunguliwa mashitaka. Je huu si uteswaji wa wazi. Au ndio yuko kizuizini? Tumpokee lini mtaani kama shujaa kwa mkutano

View Article


Ndugu hawamtaki mke wangu mtarajiwa sababu ni mwislamu

Habari zenu wadau,hapa sihitaji ushauri bali nataka kushare tu yaliyonikuta. Mimi ni mkristo mkatoliki lakini nimetokea kuangukia kwenye mapenzi na binti mmoja mzuri,mtamu,mstaarabu sana wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baraka za Bwana ziwe juu yake!!

Ni wachache mno duniani watu wenye moyo kama huu akiwemo na Kaunga tu Attached Thumbnails  

View Article


Bujibuji vs SHOP ATTENDANT

. "Bujibuji: I wanna buy a bra for my girlfriend but I am not sure about the size. Shop attendant," Is she slim, big or like me?" Bujibuji: just like you. Shop attendant: Ok then I can show you my...

View Article

Unayejua wanunuzi wa asali kwa kiasi kikubwa tafadhali

Ndugu wan JF wenzangu, Nawasalimia. Kwamtu yeyote aliye na contacts au anayejua wanunuzi wa asali (asali genune) walioko popote Tanzania hususani Dar naomba anisaidie contact zao au ili niweze...

View Article


WATANZANIA Sasa SI MUDA wa KUSIKILIZA POROJO ZA CCM na SERIKALI

Mtz yeyote mzalendo na anayeona mbele kuhusu hatma ya nchi yetu sasa tambua huu si muda wa kupumbazwa na harakati za CCM na SERIKALI yake za kutudanganya kwa kupika uogo wa kuwazushia wazalendo wa nchi...

View Article

kikosi cha yanga kilicho anza dhidi ya jkt luvu

1.Ally Mustafa 'Barthez' 2.Juma Abdul 3.Oscar Joshua 4.Nadir Haroub 'Cannavaro' 5.Mbuyu Twite 6.Athumani Idd 'Chuji' 7.Saimon Msuva 8.Frank Domayo 9.Nizar Khalfani 10.Hamis Kiiza 11.Haruna Niyonzima...

View Article

Kwa mwamke anayemanisha kutafuta mwanaume wa kuishi naye

Jamani natafuta mwanamke wa tunayeweza kuishi naye kama mke hapo baadae kama tutaelewana, awe tayari kupima vvu, aliye tayari tuwasiliane yule tu anayemanisha unaweza pia kuwasiliana nami kupitia...

View Article
Browsing all 12945 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>