kweli usilolijua litakusumbua.......mi nilidhani ni tatizo kumbe wala si tatizo
siku kadhaa zilizopita nilaomba mssada kuhusu error msg chini kwenye phpmyadmin mimi kutokana na ugeni wangu wa database nilidhani ni tataizo kumbe sio tatizo. ila pia ukitaka kuitoa inawezekana. msg...
View ArticleNa mimi mnipiemu sasa!
Yani tangu nijiunge jf sioni hizo piemu wala nini, kwani mimi ndo sipiemuki jamani?hii sio haki sasa na mimi leo mnipiemu sasa nione hizo piemu zinavyokuwa lol...utafikiri sio mdau humu ndani.mnipiemu...
View ArticleFundi wa simu kubadili lcd screen ya Nokia Lumia 800
Naweza nikapata wapi fundi wa kunibadilishia screen ya nokia lumia 800 kwa mikoa ya Dodoma,Mbeya na Dar Contact 0757383551
View ArticleYeye mke wa mtu mi mme wa mtu lakini.......
Wanajamii naombeni mtizamo wenu kwenye hili: Mim ni kjana nimeoa na nina mtoto 1 na ninafanya kazi serkalin, sasa ofisin kwetu kuna mdada kaolewa kwa sasa ana watoto 2 na huyo mtoto wa pili hapishani...
View ArticleUtamu haukataliki.
Mwanajeshi mmoja awakamata wasichana wawili na bi kizee mmoja, ambapo walikuwa upande wa maadui. Mwanajeshi akawaambia adhabu ninayowapa ni kuwamicha kila mmoja, wale wasichana wakiwa wanamtetea yule...
View ArticleShow mercy, don't rush to condemn, new pope urges
VATICAN CITY (Reuters) - Pope Francis, speaking to an overflow crowd of more than 150,000 in St Peter's Square, urged the world on Sunday to be more forgiving and merciful and not so quick to condemn...
View ArticleMchumba angu yuko Finland!
Naelekea Uzeeni sasa! Ni miaka 16 sasa tangu nifahamiane naye, alikuwa ndio kwanza amemaliza kozi yake ya uhasibu na kuajiriwa katika taasisi ya misaada ya mmojawapo ya nchi za Ulaya hapa nchini....
View ArticleNdizi huozaje?
Wajameni, sijawahi kuona ndizi iliyooza ikawa na wadudu kama yalivyo maembe. Jeff, kuna sababu za kisayansi? Ni udadisi tu.
View ArticleWakuu! Msaada wa mawazo.
Msichana huyu nillkutana naye mazingira yangu yakazi. nimrembo kiasi chake. kwa image ambayo mimi naihusudu. mrefu kiasi maji yakunde, kifua saizi ya kati. hali kadhalika yale mambo yetu ya akiba ya...
View ArticleKigwangalla Mwenyekiti TAMISEMI: Awabwaga Mh. Zambi na Mh. Mfutakamba
Kamati mpya za bunge zilizoundwa hivi majuzi tu hapa zimepata wenyeviti. Kamati iliyokuwa na uchaguzi mkali ni ile ya tamisemi ambapo mwanasiasa chipukizi na mahiri katika kujenga hoja, Dkt. Hamisi...
View ArticleHahaha nitajie movie
Nitajie movie ambayo ulivyo angalia ulicheka kinouma mimi ni ile movie ya hangover wale washikaji walo lewa wakaiba tiger wa mike tyson wakifikiri ni mbwa na pia akajing'oa jino
View ArticleUrembo
http://1.bp.blogspot.com/-qZ-Flqhaft...0/GO9G0307.jpg Nimeikuta kwa Anko, nilimwona Ilala huyu. Ni urembo tu. Attached Thumbnails
View ArticleNipasheni story ya akilimali na nonda
Naombeni mnipashe habari ya yahya akilimali na shabahan nonda mkongo huyu wa galatasarayi
View ArticleCHADEMA, kuchukua nchi ni mchakato!
Napenda kutoa wosia kwa viongozi,wanachama na washabiki wa chadema kubakia na utulivu na pia kuendelea kusimamia lengo la kuingia ikulu 2015. Kuchukua nchi kubwa kama Tanzania kutoka kwa mafisadi na...
View ArticleLIBOLO vs EL MELECKH
Baada ya kumtoa simba LIbolo leo wanakutana na Elimereck ya Sudani ni mapumziko Elimereckh inaongoza bao moja
View ArticleUchawi Kumbe Kweli Upo??
Fuatilia hii video clip uweze kujibu swali langu hapo juu; HABARI YA STAR TV - WACHAWI WAUMBUKA MWANZA - YouTube
View ArticleTO DAY NIGHT FC BARCELONE VS RAYO VALLECANO 21:00 spain {11:00pm tz.}
fcb barcelone itamkaribisha rayo vallecano katika uwanja wa camp nou leo saa tano usiku kwa saa za tanzania hii ni raundi ya 28 katika ligi ya spain la liga usikose kumuona mfalme wa kandanda wa dunia...
View ArticleJina gani la mtoto wa kike utachagua Kati ya haya
Ilona,carine,Gilda,deshi,An,D, Roos,Aimi,,Brier,Antje,Laika,A shna, Dewi .Thanks
View Articletanzania daima mumechemsha
Nimesoma kwa masikitiko makubwa habari zilizoko kwenye gazeti la tanzania daima yenye kichwa cha habari lowassa na mengi kufanyiziwa kama lwakatware. Nasema nasikitika maana ni habari za uongo na za...
View Article