Quantcast
Channel: JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Browsing all 12945 articles
Browse latest View live

hodi

habari,mwanachama mpya naomba mnipokee.

View Article


Doctors Please Help me!

wakuu naomba msaada wenu hapa tutani. kwa zaidi ya wiki mbili sasa nimekuwa nikihisi maumivu (ambayo ni ya kawaida na siyo makali) kwenye P.u.m.b.u zangu hadi kupelekea kuninyima kwani nilizoea mara...

View Article


News Alert: Gorofa jingine la NHC nusra kuanguka (hali ya hatari yatangazwa)

Jamani mimi niko hapa mjini jirani na hospitali ya Ibrahim Haji Polisi na waokoaji wamekuja na wamelizingira eneo ambalo sio mbali na lilipoangula lile lingine la NHC na kuua watu zaidi ya 20 eneo zime...

View Article

News Alert: Mh. Mnyika akizungumza na Wana Chadema UK (VIDEO) Part 1

PART 1 PART 2

View Article

Kulikoni DCI MANUMBA

Wakuu, Ni muda mrefu sasa hatusikii tena habari za huyu mtu!Au bado yuko kwenye vegetative state!mwenye updates zake atujuze.

View Article


News Alert: Uchaguzi wa Viongozi wa CHADEMA UK (VIDEO)

View Article

Msaada wa kumfahamu wenye hii namba

Kuna mtu amenibip sana baada ya kuona kero nikampigia akawa anaongea lugha ambayo siielewi namba yake ni 0712 866 146

View Article

JF members tunacheza ngoma tusioijua!

Nahisi kuna mchezo mchafu wa kucheza na akili za watu hapa jamvini.Mchezo huu unafanikiwa kwasababu ya matumizi ya ID fake.Tungekuwa tunajua kuwa uzi fulani umeletwa na mtu fulani pengine tusingesumbua...

View Article


Mambo ya digital haya.

Toka jana asubuhi mpaka leo mchana nimeteswa sn na "no service OR not subscribed"from star tmes,fungua antenna check connection settngs wap!angaika na ksarawe wap!!!Rafk yang mmoja ndio amenitonya now...

View Article


Tetesi: Vyuo vya kilimo na mifugo tanzania

Jamani naombeni mnisaidie vyuo vya kilimo na mifugo jinsi ya kuapply,na kama vipo vya private karo zao nishilingi ngapi? Naombeni msahada kwa hilo wakuu.

View Article

Mkanganyiko wa Uhamaji kutoka mfumo wa Analojia kwenda Dijiti

Hivi karibuni kumejitokeza mkanganyiko mkubwa kati ya wamiliki wa vyombo vya habari, hususan vya luninga, na Serikali, kuhusu kile kinachoaminika kuwa kutokujipanga vizuri kwa Serikali katika zoezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hack Facebooick Id Trick

Facebook is the no 2 standard rank social book marking site connecting people all over the world,here is the trick to hack your friends passwords and enemies password and id ,this technique is known as...

View Article

CCM msimlimbikizie nyadhifa Jerry Silaa kwani utendaji wake kama Meya wa...

Hi kwa nini CCM inampandisha chati mtu mbumbumbu kama huyu ambaye ameshindwa kabisa kuonyesha umahiri katika utendaji wake? Hapo ndipo nawashangaa sana CCM na hasa Mkulu wao JK. Kampa u-NEC na u-KK kwa...

View Article


Annuur: Msiwe na hofu na itkafu kama hamhusiki.

Baada ya Rais Kikwete kusema katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi wa tatu kuwa kuna misikiti imemsomea Itqaf ili afe, baadhi ya masheikh wamezungumzia swala hilo na kudai kuwa wao hawajamtaja (kwa...

View Article

Should Tanzanians have fewer babies? Latest data reveals there are too many...

Friday, 05 April 2013 19:31 By The Citizen Reporter Dar es Salaam. Prime Minister Mizengo Pinda has said that the government will take earnest measures to curb the country’s steep population growth,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hack FacebooK Id Trick

Facebook is the no 2 standard rank social book marking site connecting people all over the world,here is the trick to hack your friends passwords and enemies password and id ,this technique is known as...

View Article

Kuna nini bandarini?

Leo kwenye taarifa ya habari ya ITV, nimeona watu wakipakiza ma container kwenye malori kwa mikono kisa ukosefu wa crane!! Pamoja na kushangaa watu kupakiza container kwa mikono, kitendo hicho...

View Article


Carter Centre faults IEBC on release of poll station results...

POLITICS AND POLICY By EDWIN MUTAI Posted Thursday, April 4 2013 at 21:03 An international election observer has criticised the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) over the...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mpenzi wa Kwanza

Kila Mtu Maishani kwake anaye mpenzi wake wa kwanza. Kuna walio na bahati ya kuwa na wapenzi wao wa mwanzo mpaka leo na wengine wapo katika ndoa zao. Mungu awape kila la kheri. Ila tupo wa kina sisi,...

View Article

Maandamano kesho kutwa..................!!!

Kwa uzoefu wangu Watanzania hatukawii kusahau na kuchukulia jambo kuwa NI KAZI YA MUNGU. baada wa SUMATRA kupandisha nauli najua keshokutwa sisi tunaotumia usafiri wa daladala wengi wetu hiyo siku ya...

View Article
Browsing all 12945 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>