Waziri wa Mawasiliano: Wanaotumia vibaya simu, mitandao ya kijamii kukiona
Image: http://t3.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcS4Yftsvnlfz0tnM9OlnrtmDlbx-ql9Zie6FAy-C35L9KoOn4iV Written by Ashakh (Kiongozi) (http://mzalendo.net/author/ashakh) // 08/04/2013 / SERIKALI imesema...
View ArticleChaguzi mabaraza ya katiba; nimeshindwa na anayejua kusoma na kuandika...
*Wakuu habari, * Wiki iliyopita niligombea nafasi ya kuwa mjumbe wa baraza la katiba, wilaya ya ilala katika mtaa wangu nikashinda kwa kishindo – nilikuwa wa kwanza katika kundi langu – kundi la wote....
View ArticleKwa nini nimeuzia Ushuru wa Soko la Kilombero-Nanyaro Diwani wa Levolosi
SAKATA LA USHURU WA SOKO LA KILOMBERO Halimashauri ilitoa zabuni ya kukusanya ushuru kabla wa soko la Kilombero,wakala huyo alishindwa kuendelea na kazi baada ya kuomba apunguziwe kiwango alichokuwa...
View ArticleHakuna malaria lakini ana joto
Mwanangu ana miezi 11.Anachemka na kuharisha tumepima malaria hakuna.Atakuwa ana tatizo gani?
View ArticleTetesi: chadema Arusha yaingia kwenye mabaraza ya katiba kwa kutumia jina la CCM
CCM walikuwa wamejipanga kuwafutilia mbali wanachadema wote walioomba uwakilishi kwenye mabaraza ya katiba. Mkakati wa wagombea wa chadema ikawa ni kujitambulisha kuwa wao ni wana CCM. Mmoja wao ni...
View ArticleTetesi: Hongereni walimu, mishahara juuu!
Nimetumiwa msg ktk simu yangu inasema, "Tetesi kutoka kikao kati ya bodi ya mishahara ya serikali na wakurugenzi wa halmashauri zote nchini; madaraja ya walimu yamerekebishwa, graduate ataanza na TGTS...
View ArticleHII NI KWA WANAUME WA UKWELI WANAOTUMIA DUME!!. Hivi,,,, HUU NI UGONJWA AU...
Mwanaume anamwambia mpenz wake, kwamba hataki kusex kwa kutumia KONDOM! na mwanamke anataka kondom itumike. TATIZO liko apa: wakiwa kitandani, mwanaume anasimamisha vizuri, tayal kwa kusex! Ila...
View ArticleWANAWAKE WAKITANGA WAKOJe
Habari zenu wanajamiiforums nimetokea kumpenda binti wa kitanga naombeni mnijuze tabia zao na mila na desturi zao zikoje nataka nifunge nae pingu ya maisha. Naomba msaada wenu Natanguliza shukrani.
View ArticleStar TV wamenikosha sana!
Nimetoka kusikiliza kipindi cha comedy cha pikabom wanaipa makavu sana serikali. Leo wamesema viongozi wetu wamefoji vyeti. Nijuavyo tz ukisema ukweli unaonekana mbaya. Hivyo natabiri kufungiwa kwa...
View ArticleNews Alert: Jamani, Wanahabari Magwiji,Wanahabari za SIASA ya Tz,...
Wanajamvi heshima kwenu fikra huru ndo utamtambua mtu. Nimekuwa katika tafakari wakati wa pasaka nikatambua Yesu alikubali alichokiamini na kweli yake kwa watawala wa Kirumi imgarimu kiasi cha mateso...
View ArticleVyama vya Wachimbaji madini wadogo
Ndugu zangu Watanzania Naomba msaada wa kujua vyama vya wachimbaji madini wadogo wadogo (Association of small scale mines), hata kama hujui vyama vyao ila kama kuna eneo lenye wachimbaji wadogo naomba...
View ArticleNi dharau au ndio maringo
Habari za usiku wanajamvi Hua na choshwa na baadhi ya tabia ya ndugu zetu. Mimi nilialikwa kwenye kikao kimoja cha harusi ya mtoto wa mama mkubwa na niliweza kuhudhuria vyema sasa kikao kilichofata...
View ArticleDigsby "All in 1" IM, Email & Social Networks
Digsby ni app nzuri sana ya pc inakuruhusu kuconnect account zako za email, IM(Instant Messaging) na social networks kwa pamoja. *E-Mail:* hapa utapata notification ya email muda inapoingia(lakini sio...
View ArticleNLiChOkIfAnYa mWeNgE sTaNd LEo...{TOA MAONI YAKO}
Leo mida ya jioni narudi kutoka kazin, nimefika Mwenge nasubiria usafiri kwenda Tegeta, mfukoni nina Tshs 900/= tu >> Coins 2 za 200/= >> Noti ya 500/= Nikawa nimepanga zangu kwamba, kutoka...
View ArticleMheshimiwa mbowe: Swali kwa waziri mkuu alhamisi ni hili!
Swala la kuchinja ni suala zito sana ambalo serikali yetu imeshindwa kulitolea tamko, ni jambo la kushangaza hata Rais wetu Jk alishindwa kulizungumza kama raisi, bali aliliongea kama raia wa kawaida...
View ArticleProblem with Picture Quality in SG2
It seems like all of my pictures have been turning out grainy and washed out. The lights in my pictures are always too bright. I'm also having issues with the camera focusing, sometimes when I point it...
View ArticleWanaume kazi kwenu(bachelors)!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!!
*Many men are never taught how to talk to women. Because of this many guys go through life without the ability to attract a woman. Here are 15 tips to help make sure you arent making mistakes with the...
View ArticleBilioni 40 ya mradi wa umeme Mtwara haijulikani ilipo
Mwaka jana Serikali kupitia waziri wake wa nishati ilitangaza kuwa imetenga bilioni 40 kwa ajiri ya kusambaza umeme mkoani mtwara mradi ambao ulitakiwa kukamilika mwezi Desemba. Ilipofika Novemba mwaka...
View ArticleKampuni za simu zalipa bil. 64/- kwa miaka 5
Kampuni za simu zalipa bil. 64/- kwa miaka 5 : KAMPUNI za simu kwa miaka mitano zimelipa jumla ya Sh bilioni 64 kama kodi ya kampuni hadi kufikia mwaka 2010 huku uwekezaji wa kampuni hizo ukiwa...
View Article