SWALI; Kama CHADEMA ni Dhaifu, Maandamano ya POLISI Nchi Nzima ni ya Nini?!
Kwa mujibu wa matamko ya Viongozi wa CCM, (Mfano Nape, Wassira, Nduugay et al), CDM ni dhaifu sana! Sasa maandamano haya ya Polisi nchi nzima na mabomu, silaha za kivita, mbwa na nagari ya washawasha...
View ArticleUkaribu uliopitiliza kwa mashemeji wa jinsi tofauti unaashiria nini?
KWA UFUPI Lakini kubwa zaidi ni tabia ambayo huendelea baada ya uhusiano huo kuvunjika. Hili ndilo balaa lililotuleta hapa mezani leo. Moja ya mambo yanayosumbua vichwa watu wengi walio kwenye uhusiano...
View ArticleNews Alert: Mwana CCM Mwenye Ushahidi Wa Maisha Bora Kwa @ Mtanzania Auweke...
Naomba Mtanzania Na Mwana CCM Yeyote Aliyeyaona Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania Aweke Ushahidi Hapa, Kama Ilivyoahidiwa Katika Ilani Ya Uchaguzi Ya CCM Mwaka 2010. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUNZI, KIDUMU...
View ArticleDaima nitaichukia CCM na serikali yake!
Binafsi nasema nitakichuki hiki chama maisha yangu yote mpaka siku naingia kaburini. Inasikitisha na kuumiza kuona kundi la watu wachache wanajineemesha na kuishi kama wako peponi huku wengine wakifa...
View ArticleJaja jojo juju, alifika kweli Morogoro au aliishia Chalinze??!!
Hivi huyu Jaja jojo juju aliyesabisha kelele mpaka watu hawalali alifika kweli Moro au alikwamia Chalinze??!! Mkiambiwa muache kelele za jaja na ninyi mnaleta ubishi mtapigwa tu. na mimi nasema mpigwe...
View ArticleSUNDAY DISCUSSION:, Je, ni lazima mtoto aitwe kwa jina la Baba?
Hi GT, habari za Juma pili, embu tujadiliana; nini hasa chanzop cha mtoto kuitwa kwa jina la baba na si la mama? kuna mathara gani akiitwa kwa jina la mama? embu tujadiliana na wataalam wa historia ya...
View ArticleNews Alert: CCM NA SERIKALi WAMEKUWA WANAHARAKATI KAMA CHADEMA YA ZAMANI
Chadema imeanza kujikita hadi ngazi za chini.Kule chini sasa mambo yakifanywa au kutamkwa na viongozi wa chadema yanakuwa na uzito kuliko ya viongozi Wa CCM au Serikali wenye ngazi Sawa. Viongozi wa...
View ArticleWakwe waongeza dau la mahari baada ya kuona maprado yamepaki
mshikaji mmoja juzi kati kaenda kulipa mahari ukweni,si unajua kale kakabila ka kupenda sifa sijui magari ya kifahari waliyatoa wapi,wazazi wa binti kucheki parking imejaa madude wakadai tulisema...
View ArticleA man who lives fully is prepared to die at any time (Portia Karegeya)
A man who lives fully is prepared to die at any time (Portia Karegeya) Interview with Portia Karegeya on the death of her father Patrick Karegeya By: Jennifer Fierberg In the wake of extreme tragedy...
View Articledawa ya kuzuia kukojoa kitandani kwa watoto
Mtoto wangu msichana yupo darasa la tano ana miaka 11, tatizo lake ni kwamba kila akilala usiku lazima akojoe kitandani, tangia azaliwe amekuwa kikojozi najaribu kumuamsha ila nikichelewa kidogo nakuta...
View ArticleNews Alert: Wassira: Warioba alinikimbiza CCM mwaka 1995
Nakumbuka warioba,mwenyekiti wa tume ya serikali ya rushwa,alimbana kwenye kesi ya uchaguzi akimtuhumu kwa kutoa rushwa mpaka akapatikana na hatia na kuzuiwa kugombea kwa miaka mitano,inaonekana kisasi...
View ArticleMWENYEKITI wa CCM Iringa Mjini Atangaza nia ya Ubunge, Iringa Mjini......
PAZIA la kinyang’anyiro cha ubunge jimbo la Iringa Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) linaelekea kufunguliwa baada ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Jesca...
View ArticleNafasi za Kazi 40 leo Tarehe 22 September
Jiandikishe Kupata Taarifa Mpya Kuhusu Nafasi Za Kazi > Www.Zoomtanzania.Com/Signupforalerts Hizi Ni Kazi 4 Kati Ya Kazi 40 Mpya Zilizopostiwa Tarehe 22/9/2014 Kuweza Kuona Kazi Zote Zinazopokea...
View ArticleThe Truth about ISIS or ISIL. The COVERT OPERATION that turned Nasty.
The BIG Question is, who is the Really Enemy? WHY DID THE WEST CREATE ISIS WHEN THEY ALREADY HAD ZIONISM? September 15, 2014 at 10:28 (Corrupt Politics, Cover Up, False Flags, Iraq War, Israel,...
View Article